JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA

Jaji Mutungi atoa wito Vyama vya Siasa kutatua Migogoro yao kwa njia ya maridhiaono ndani ya Vyama vyao wenyewe
Jaji Mutungi atoa wito Vyama vya Siasa kutatua Migogoro yao kwa njia ya maridhiaono ndani ya Vyama vyao wenyewe Wito huo umetolewa leo wakati akifungua mafunzo kwa viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu masuala ya utekelezaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa