JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA

Msajili wa Vyama vya Siasa (RPP), Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) uliofanyika leo tarehe 2 Juni, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Multifunctional – Confusious
Msajili wa Vyama vya Siasa (RPP), Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) uliofanyika leo tarehe 2 Juni, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Multifunctional – Confusious