Salamu za Pole
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Mhe. Jaji Francis S. K Mutungi leo amefika nyumbani kwa kaka wa Marehemu Peter Kuga Mziray aliyefariki jana katika hospitali ya Rabininsia Tegeta Jijini Dar es Salaam, na kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki waliofika katika msiba huo.